Pascal Joseph on Amazon Music
- Mambo haya mawili nimekuomba; Usininyime [matatu] kabla sijafa.
- Uniondolee ubatili na uongo; Usinipe umaskini wala utajiri; Unilishe chakula kilicho kadiri yangu.
- Nisije nikashiba nikakukana, Nikasema, Bwana ni nani? Wala nisiwe maskini sana nikaiba, Na kulitaja bure jina la Mungu wangu.
#pascaljoseph #mtuwanjiailee #mtuwanjiaile #uzaidibwana #bwanatusaidie #ukanipamaishamapya
Comments
Post a Comment